Tuesday, February 23, 2010

KUTOKA KWA AY na KINGS AND QUEENS


Video mpya ya KINGS and QUEENS featuring JOKATE and AMANI inabamba ile kinoma kwenye vituo vyote tangu ilipotoka. Video hii ambayo imetengenezwa na OGOPA DJs na Audio yake kurekodiwa na B. HITZ MUZIC GROUP chini ya mtaalam Hermy B. Kama alivyosema awali mkali huyu wa Bongo Fleva kuwa mwaka huu ni wa vitu vikali na vya viwango vya hali ya juu kutoka kwa AY. Pia mkali huyu amesema kuwa yuko katika maandalizi ya kwenda kushoot wimbo wa wake mwingine unaofanya vizuri redioni unaotambulika kwa jina la BED AND BREAKFAST. Video yake itashootiwa JOHANNESBURG SA na kampuni kubwa ya kule inayoitwa Film Online.

Friday, January 22, 2010

WAFANYAKAZI WA IPP WALIPOJUMUIKA NA WALEMAVU KATIKA MISOSI

ABDALLAH MWAIPAYA(ABD) akichekelea misosi na GODWIN GONDWE baada ya kazi ngumu ya kuwagawia chakula walemavu katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini DAR ambapo siku hiyo wafanyakazi wa makampuni ya IPP walikuwa wahudumu wa walemavu waliofika kwenye sherehe hizo.
Wafanyakazi wa Ipp wakichukua misosi baada ya kazi nzito wa kutoa huduma kwa walemavu katika ukumbi wa Diamond Jubilee






Wafanyakazi wa Ipp wakichukua misosi baada ya kazi nzito wa kutoa huduma kwa walemavu katika ukumbi wa Diamond Jubilee

Wednesday, January 13, 2010

MR. BLUE AKANUSHA KUFA

Mr. Blue akiwa kwenye mahojiano na mtangazaji wa Radio One wa kipindi cha Milazo 101 Millard Ayo......katika mahojiano hayo Mr. Blue alisema kuwa yeye ni mzima wa afya na anaendelea na mipango yake ya maisha kama kawaida, ikiwa ni pamoja na kusoma kozi za Kiingereza za Kifaransa ili awe wa kimataifa zaidi katika ulimwengu wa sasa ambao ni kijiji kimoja, pia Mr Blue alisisitiza kumalizia nyumba yake ambayo anajenga huko maeneo ya Tabata na hatimaye aweze kuishi pamoja na mama yake ambaye anampenda sana.

Tuesday, January 5, 2010

ROSE CHITALLAH AIBUKIA NCHI ZA MBALI

Hi ma people of Bongo Land mu hali gani...?
Rose akila pozi kwenye duka kubwa la mavazi
Rose akiwa na bro wake katika beach huko mbele

Thursday, December 31, 2009

Tuesday, December 29, 2009

Really Mafia atikisa anga za Bondeni


Really Mafia, ni Mtanzania anayeishi Bellville Cape Town,South Africa, hivi sasa anatamba na wimbo unaoitwa Freeparty ambao ameurecord South Africa ktk Studio za Fearless, ktk wimbo huo kawashirikisha Xcracker na Makay, "Matarajio yangu ni kufanya mapinduzi makubwa ktk muzik wa bongo,nategemea kuanzisha kampuni kubwa ya promotion,na uuzaji wa kazi za wasanii hapa bongo," alisema hivyo Reall Mafia a.k.a KING

Reall Mafia a.k.a KING katika Pozi

Friday, December 18, 2009

JB MPIANA KUCHANA BONGO LEO

Msanii mahiri muziki wenye mahadhi ya Kilingala kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia Kongo, JP Mpiana amewasili nchini usiku wa kuamkia leo, ambapo baadaye jioni hii atafanya onyesho kwenye ukumbi wa Ubungo Plaza.

Mpiana aliwasili sambamba na kundi la wasanii wake na kupokelewa na wenyeji wake kampuni ya Sigara, ambapo onyesho lake litafanikishwa kupitia sigara ya Embassy, alisema meneja msaidizi wa bidhaa hiyo, Elizabeth Ndosi.




Thursday, December 17, 2009

HAPPIIIIII BITHDEI ABOUBAKAR SADICK (KWAFUJO)

ASBH NIKIPATA SUPU YA KUSHEREHEKEA SIKU YA KUZALIWA,
Namshukuru sana mungu kwa kunifikisha siku hii muhimu siku mungu aliponileta duniani,nimeruka viunzi vingi sana mpaka leo nipo hai na napumua vizuri namshukuru sana mungu,thnx kwa wote mlionipigia simu au ku sms kunitakia maisha marefu na kunipa moyo ktk kupambana na ukali wa maisha, kwa wasikilizaji wa vipindi vyangu nawaambia KEEP THE FAITH ON ME ILL NEVER LET U DOWN.......
MTOTO AKIJILIPUA NA POMBE KALI MAPEEEEEMA
ASSAM.....,DUH!DINGI UMEKULA CHUMVI NYINGI WAKT MIMI HATA MENO HAYAJAOTA

SALAM KUTOKA INDIA KWA GETRUDE MKUMBO

Getrude Mkumbo katika Pozi Bab kubwa, jana alisheherekea Bithi Dai yake



Monday, December 7, 2009

MREMBO WETU WA MISS EA

Juliet William, 19, amechaguliwa kuiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya Miss East Africa yatakayofanyika katika ukumbi wa Mlimani City Dar es Salaam tarehe 18 Desemba.

Wednesday, December 2, 2009

FACE OF AFRICA

Mrembo kutoka mkoa wa Manyara anadumisha mila wengine ilisha shindwa

Monday, November 30, 2009

WELCOME TO TRANQUIL MASSAGE PARLOUR AND SPA.

WELCOME TO TRANQUIL MASSAGE PARLOUR AND SPA.
THE ONLY PLACE IN TOWN WHERE U CAN EXPERIENCE TRANQUILITY,RELAXATION AND COMFORT WHILE WE TAKE CARE OF U.WE USE MAGIC HANDS AND MACHINES.
WE OFFER VARIETIES OF SPECIALITY SERVICES BY OUR OWN QUALIFIED THERAPISTS SUCH AS;
BODY MASSAGE,BODY SCRUB,FACIALS,MANICURE AND PEDICURE.
COME VISIT AND ALLOW US TO PAMPER YOU IN A QUIET AND AND RELAXING AMBIANCE.
WE OPEN EVERYDAY MONDAY-SUNDAY AND PUBLIC HOLIDAYS FROM
9:00AM-20:00PM AND ON SUNDAY FROM 11:00AM-18:00PM.
FOR MORE INFORMATION PLEASE CONTACT US ON;
CELL : +255717952020 / +255768952020
EMAIL : tenilmallya2009@yahoo.com
tete@tranquilmassagespa.com
info@tranquilmassagespa.com

WEBSITE : www.tranquilmassagespa.com
LOCATION:- PLOT NO 164,HANANASIF
KINONDONI ROAD.









Thursday, November 26, 2009

TOT HAO WANAKUJA UPYA NA VITU VIKALI

Mkurugenzi wa TOT na pia ni mbunge wa Jimbo la Mbinga, Captain John Komba akitambulisha ujio mpya wa timu yake nzima ya wasanii wakali wa TOT na vibao vyao pamoja na video za nyimbo hizo katika Party ya kuonja vituz vyao kabla ya kutinga sehemu mbalimbali......kaa mkao wa kula si mchezo babake wamekuja kufunikaaaaaaaaaaa ile mbaya.
Abubakar (Kwafujo) akiwa na MC wa siku hiyo Maimatha hapo jana.
Abubakar( Kwafujo) akiwa na Mkurugenzi wa TOT kaptein John Komba wapili (kushoto) akifuatiwa na mgeni rasmi wa siku hiyo mweka hazina Mkuu wa CCM Taifa Amos Gabriel Makala ' Nabii wa Mvomero' na mwisho kabisa ni mdau wetu.
Abubakar akiwa na msanii wa picha za filamu za kibongo maarufu kama Lovilo Matovolwa.

Friday, November 20, 2009

UJIO WA KOMBE LA DUNIA JIJINI DAR

Rais Jakaya Kikwete akiwa ameshika Kombe halisi la Dunia la FIFA, muda mfupi baada ya kuwasili nchini kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Msanii maarufu wa BongoFlava AY akifanya vitu vyake katika uwanja mpya wa Taifa wakati wa kupokea kombe la Dunia
Uwiiiiiii...... pua hizi ni hatari kweli kweli filimbi zinavuma kama zinapulizwa na mdomo....

THIS BLOG IS POWERED BY TRIZ MOTEL

THIS BLOG IS POWERED BY  TRIZ MOTEL