
Namshukuru sana mungu kwa kunifikisha siku hii muhimu siku mungu aliponileta duniani,nimeruka viunzi vingi sana mpaka leo nipo hai na napumua vizuri namshukuru sana mungu,thnx kwa wote mlionipigia simu au ku sms kunitakia maisha marefu na kunipa moyo ktk kupambana na ukali wa maisha, kwa wasikilizaji wa vipindi vyangu nawaambia KEEP THE FAITH ON ME ILL NEVER LET U DOWN.......


No comments:
Post a Comment