Friday, November 20, 2009

UJIO WA KOMBE LA DUNIA JIJINI DAR

Rais Jakaya Kikwete akiwa ameshika Kombe halisi la Dunia la FIFA, muda mfupi baada ya kuwasili nchini kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Msanii maarufu wa BongoFlava AY akifanya vitu vyake katika uwanja mpya wa Taifa wakati wa kupokea kombe la Dunia
Uwiiiiiii...... pua hizi ni hatari kweli kweli filimbi zinavuma kama zinapulizwa na mdomo....

No comments:

Post a Comment

THIS BLOG IS POWERED BY TRIZ MOTEL

THIS BLOG IS POWERED BY  TRIZ MOTEL