Friday, January 22, 2010

WAFANYAKAZI WA IPP WALIPOJUMUIKA NA WALEMAVU KATIKA MISOSI

ABDALLAH MWAIPAYA(ABD) akichekelea misosi na GODWIN GONDWE baada ya kazi ngumu ya kuwagawia chakula walemavu katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini DAR ambapo siku hiyo wafanyakazi wa makampuni ya IPP walikuwa wahudumu wa walemavu waliofika kwenye sherehe hizo.
Wafanyakazi wa Ipp wakichukua misosi baada ya kazi nzito wa kutoa huduma kwa walemavu katika ukumbi wa Diamond Jubilee






Wafanyakazi wa Ipp wakichukua misosi baada ya kazi nzito wa kutoa huduma kwa walemavu katika ukumbi wa Diamond Jubilee

No comments:

Post a Comment

THIS BLOG IS POWERED BY TRIZ MOTEL

THIS BLOG IS POWERED BY  TRIZ MOTEL