ABDALLAH MWAIPAYA(ABD) akichekelea misosi na GODWIN GONDWE baada ya kazi ngumu ya kuwagawia chakula walemavu katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini DAR ambapo siku hiyo wafanyakazi wa makampuni ya IPP walikuwa wahudumu wa walemavu waliofika kwenye sherehe hizo.
Wafanyakazi wa Ipp wakichukua misosi baada ya kazi nzito wa kutoa huduma kwa walemavu katika ukumbi wa Diamond Jubilee
Wafanyakazi wa Ipp wakichukua misosi baada ya kazi nzito wa kutoa huduma kwa walemavu katika ukumbi wa Diamond Jubilee
No comments:
Post a Comment