Monday, August 10, 2009

Ujio mpya wa Xtra Bongo

Ally Choki Mzee wa Farasi akionyesha Dole tupu kuashiria mambo kuwa sasa yameiva. Hapo alikuwa na vijana wake wa kazi ambao wanajianda kuliteka jiji kwa staili ya aina yake (kwa pembeni yake ni Kwafujo mwenyewe).

Ni wiki endi hii- Kwafujo nilipotembelea kambi ya Extra Bongo pale Mwananyamala, Bendi ipo tight usisikie pia nimesikiliza wimbo mmoja unaitwa "Mjini Mipango", vijana wametulia sana.
Alhamisi ya wiki hii watafanya Listening Party wadau kibao wa mjini wamealikwa na Ma Pedsheee kibao kama vile Chief Kiumbe, Ustadh Juma, Masoud Wanani watakuwepo kuskiza ujio mpya wa Xtra Bongo next level, Kwafujo nitakuwepo kuwaletea yaliyojiri.
Wewe endelea kublogisha tu....
Tunajifua kinoma.......
Upo hapo....hiii haijawahi tokea tutatisha ile mbaya
.........Twende sasa Extra Bongo next level tunatisha ile mbaya .....See U soon over there

1 comment:

THIS BLOG IS POWERED BY TRIZ MOTEL

THIS BLOG IS POWERED BY  TRIZ MOTEL