WELCOME TO TRANQUIL MASSAGE PARLOUR AND SPA.
THE ONLY PLACE IN TOWN WHERE U CAN EXPERIENCE TRANQUILITY,RELAXATION AND COMFORT WHILE WE TAKE CARE OF U.WE USE MAGIC HANDS AND MACHINES.
WE OFFER VARIETIES OF SPECIALITY SERVICES BY OUR OWN QUALIFIED THERAPISTS SUCH AS;
BODY MASSAGE,BODY SCRUB,FACIALS,MANICURE AND PEDICURE.
COME VISIT AND ALLOW US TO PAMPER YOU IN A QUIET AND AND RELAXING AMBIANCE.
WE OPEN EVERYDAY MONDAY-SUNDAY AND PUBLIC HOLIDAYS FROM
9:00AM-20:00PM AND ON SUNDAY FROM 11:00AM-18:00PM.
FOR MORE INFORMATION PLEASE CONTACT US ON;
CELL : +255717952020 / +255768952020
EMAIL : tenilmallya2009@yahoo.com
tete@tranquilmassagespa.com
info@tranquilmassagespa.com
WEBSITE : www.tranquilmassagespa.com
LOCATION:- PLOT NO 164,HANANASIF
KINONDONI ROAD.
Monday, November 30, 2009
Friday, November 27, 2009
Thursday, November 26, 2009
TOT HAO WANAKUJA UPYA NA VITU VIKALI
Mkurugenzi wa TOT na pia ni mbunge wa Jimbo la Mbinga, Captain John Komba akitambulisha ujio mpya wa timu yake nzima ya wasanii wakali wa TOT na vibao vyao pamoja na video za nyimbo hizo katika Party ya kuonja vituz vyao kabla ya kutinga sehemu mbalimbali......kaa mkao wa kula si mchezo babake wamekuja kufunikaaaaaaaaaaa ile mbaya.
Abubakar (Kwafujo) akiwa na MC wa siku hiyo Maimatha hapo jana.
Abubakar( Kwafujo) akiwa na Mkurugenzi wa TOT kaptein John Komba wapili (kushoto) akifuatiwa na mgeni rasmi wa siku hiyo mweka hazina Mkuu wa CCM Taifa Amos Gabriel Makala ' Nabii wa Mvomero' na mwisho kabisa ni mdau wetu.
Abubakar akiwa na msanii wa picha za filamu za kibongo maarufu kama Lovilo Matovolwa.
Abubakar (Kwafujo) akiwa na MC wa siku hiyo Maimatha hapo jana.
Abubakar( Kwafujo) akiwa na Mkurugenzi wa TOT kaptein John Komba wapili (kushoto) akifuatiwa na mgeni rasmi wa siku hiyo mweka hazina Mkuu wa CCM Taifa Amos Gabriel Makala ' Nabii wa Mvomero' na mwisho kabisa ni mdau wetu.
Abubakar akiwa na msanii wa picha za filamu za kibongo maarufu kama Lovilo Matovolwa.
Friday, November 20, 2009
UJIO WA KOMBE LA DUNIA JIJINI DAR
Rais Jakaya Kikwete akiwa ameshika Kombe halisi la Dunia la FIFA, muda mfupi baada ya kuwasili nchini kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Msanii maarufu wa BongoFlava AY akifanya vitu vyake katika uwanja mpya wa Taifa wakati wa kupokea kombe la Dunia
Uwiiiiiii...... pua hizi ni hatari kweli kweli filimbi zinavuma kama zinapulizwa na mdomo....
Msanii maarufu wa BongoFlava AY akifanya vitu vyake katika uwanja mpya wa Taifa wakati wa kupokea kombe la Dunia
Uwiiiiiii...... pua hizi ni hatari kweli kweli filimbi zinavuma kama zinapulizwa na mdomo....
Friday, November 13, 2009
NAOMI CAMPBELL ALIPOTUA DAR
Msanii na Mwanamitindo wa kimataifa Naomi Campbell akiwa Franco Tramantano wakati wa onyesho wakati wa onyesho la mavazi lililoandaliwa na Taasisi ya Utepe Mweupe kwa lengo la kusaidia mpango wa uzazi salama kwa wanawake wajawazito lililofanyika kwenye Hoteli ya Movenpick usiku wa kuamkia leo.
Looo jamani siamini ninachokiona!!!!!!!!!!!!!!!..... akina mama hawa wajawazito na wengine waliojifungua wakiwa wamesongamana chini sakafuni na vitandani katika wodi ya wazazi katika hospitali ya wilaya ya Temeke walimchangaya sana akili Naomi CampbellMhhhhh Jamani hali hii ya wanawake wenzangu siamini wazazi kuwa katika hali hii.
Looo jamani siamini ninachokiona!!!!!!!!!!!!!!!..... akina mama hawa wajawazito na wengine waliojifungua wakiwa wamesongamana chini sakafuni na vitandani katika wodi ya wazazi katika hospitali ya wilaya ya Temeke walimchangaya sana akili Naomi CampbellMhhhhh Jamani hali hii ya wanawake wenzangu siamini wazazi kuwa katika hali hii.
Monday, November 9, 2009
Swahili Fashion Week
Klabu Maisha yateketea kwa moto
Sunday, November 8, 2009
Vitu vya Ray C kiuno bila mfupa
Wednesday, November 4, 2009
Vodacom miss TZ 2009 akabidhiwa mchuma wake
Subscribe to:
Posts (Atom)