Monday, November 9, 2009

Klabu Maisha yateketea kwa moto

Askari wa Kikosi cha Zimamoto, wakijitahidi kuzima moto mkubwa uliokuwa unateketeza ukumbi maarufu wa starehe wa Maisha Club wa wajanja wa mujini uliopo Oysterbay.

No comments:

Post a Comment

THIS BLOG IS POWERED BY TRIZ MOTEL

THIS BLOG IS POWERED BY  TRIZ MOTEL