Thursday, October 29, 2009

'THIS IS IT' NYOTA KIBAO WAJITOKEZA

Bongo pia Masupa staa wetu hawakubaki nyuma hapa Lady Jaydee akifanyiwa mahojiano na Sebastian Ndege wakati wa onyesho la Mfalme wa Pop marehemu Michael Jackson lililofanyika Mlimani City jijini Dar.
Moja ya manjonjo aliyokuwa akiyafanya marehemu mfalme wa Pop wakati wa mazoezi ya 'This Is It' ambapo onyesho la kwanza la sinema ya Michael Jackson liliwavutia nyota kibao ambao ni akina Will Smith, Jennifer Lopez, Neil Patrick Harris, Paula Abdul, Katy Perry, Paris Hilton, Adam Lambert, Jennifer Love Hewitt na Ashley Tisdale ambao kwa pamoja walionyesha mshikamano wao kwa mfalme wa Pop.
Jennifer Lopez akionekana kushangaa katika onyesho la kwanza la sinema ya Michael Jackson ya 'This Is It' katika ukumbi wa Nokia Theatre.

Friday, October 23, 2009

Yakheee ndoa yampata fundiiii?

We ni wangu tu..... hapa mama huchomoi tena kama ni Kung - Fu hapa ndio kwao ngoja nikuonyeshe kuwa mimi ni mtaalam wa kucheza....sio kama mabwana harusi wengine wakiwa kwenye sherehe ya kuoa wanakuwa kama wamehukumiwa kunyongwa............wewe je ukioa utathubutu hivi vijimambo?

Monday, October 19, 2009

Pozi za Jay Z na kimwana wake

Du mtoto kapendeza ile mbaya.... lakini hofu ya nini mikono hiyo.................
Mambo Adimu yaliyokuwa yakifanywa na Mfalme wa muziki wa Pop Marehemu Michael Jackson.....alikuwa hodari wa kuchupa kwenye maji ni bonge la tizi lililokuwa linamsaidia kucheza stejini.

Friday, October 16, 2009

Happy Birthday Sarah Sadik (Kwafujo)

Hapiiii Bathideiii 2u.....Hapiiii Bathideiii 2u.....Hapiiii Bathideiii Dia Sarah
Msanii Mya katika pozi

Fainali za BSS-2009

Mheshimiwa Zitto akifurahia wasanii wa BSS
Rita Paulsen Jaji mkuu wa shindano la BSS akitoa maoni yake katika ukumbi wa Diamond Jubilee ambako shindalo hilo lilifanyika
Pascal Cassian akiimba huku akidaka mshiko kutoka kwa mashabiki wa muziki
Mshindi wa BSS- 2009 Pascal Cassian akikabidhiwa mfano wa hundi ya shilingi milioni 25
Wasanii wa BSS 2009 presha inapanda presha inashuka.....

Saturday, October 10, 2009

Brother Moddy (Rafiki) siku alipofanya kweli

Mmmmmm mwaaaaaa....Brother Moddy akimpiga busu wife wake baada ya kumlisha keki
Aunt wa brother Moddy akiongoza ndugu wengine kufanya chiazziiii
Du ....hii picha nimeipiga vizuri!!!!!!!!!!!!!...............Dinna David (Usalama Kwanza) akiwa sambamba na rafiki yake Tiffany

Mamiss waliohudhuria ndoa ya Bro Moddy wakila pozi la picha
Baadhi ya wafanyakazi wa Makampuni ya Ipp wakifurahi pamoja na maharusi
Dadi ya Bro Moddy akitossti na Maharusi
Yeah hapa imetulia.........

THIS BLOG IS POWERED BY TRIZ MOTEL

THIS BLOG IS POWERED BY  TRIZ MOTEL