Friday, October 16, 2009

Fainali za BSS-2009

Mheshimiwa Zitto akifurahia wasanii wa BSS
Rita Paulsen Jaji mkuu wa shindano la BSS akitoa maoni yake katika ukumbi wa Diamond Jubilee ambako shindalo hilo lilifanyika
Pascal Cassian akiimba huku akidaka mshiko kutoka kwa mashabiki wa muziki
Mshindi wa BSS- 2009 Pascal Cassian akikabidhiwa mfano wa hundi ya shilingi milioni 25
Wasanii wa BSS 2009 presha inapanda presha inashuka.....

No comments:

Post a Comment

THIS BLOG IS POWERED BY TRIZ MOTEL

THIS BLOG IS POWERED BY  TRIZ MOTEL