Friday, October 23, 2009

Yakheee ndoa yampata fundiiii?

We ni wangu tu..... hapa mama huchomoi tena kama ni Kung - Fu hapa ndio kwao ngoja nikuonyeshe kuwa mimi ni mtaalam wa kucheza....sio kama mabwana harusi wengine wakiwa kwenye sherehe ya kuoa wanakuwa kama wamehukumiwa kunyongwa............wewe je ukioa utathubutu hivi vijimambo?

No comments:

Post a Comment

THIS BLOG IS POWERED BY TRIZ MOTEL

THIS BLOG IS POWERED BY  TRIZ MOTEL