Thursday, September 3, 2009

BESTA AKANA KUHUSU MIMBA

Mwenyewe alisema hivi, "Saivi kuna uzushi umeenea kwenye vyombo vya habari kua am pregnant, nimekanusha hilo jambo c la kweli.
Sina mimba, na naendelea na music kama kawaida."
"Saiva am prepared 4 my new vdeo. wimbo unaitwa Usirudi, nafanya kwa Adam."
Says Besta.

Vyombo vya habari acheni kumzushia mrembo huyu nadhani mmesoma wenyewe alichokisema.
Endelea kujiblogisha na Kwafujo ili upate habari zake za uhakika.






No comments:

Post a Comment

THIS BLOG IS POWERED BY TRIZ MOTEL

THIS BLOG IS POWERED BY  TRIZ MOTEL