Mwenyewe alisema hivi, "Saivi kuna uzushi umeenea kwenye vyombo vya habari kua am pregnant, nimekanusha hilo jambo c la kweli.
Sina mimba, na naendelea na music kama kawaida."
"Saiva am prepared 4 my new vdeo. wimbo unaitwa Usirudi, nafanya kwa Adam."
Says Besta.
Vyombo vya habari acheni kumzushia mrembo huyu nadhani mmesoma wenyewe alichokisema.
Endelea kujiblogisha na Kwafujo ili upate habari zake za uhakika.
No comments:
Post a Comment