Monday, August 24, 2009

Wawaaaa Da' Flora Nducha

Jumamosi kuamkia Jumapili tulimsend off Flora Nducha aliyekuwa Mtangazaji wa Radio One na sasa yupo BBC London, Flora ni mmoja wa watu walionipokea vizuri sana wakati naingia Radio One na kunifundisha mambo mengi sana, nilifanya nae vipindi kama Chombeza, Kumepambazuka na Nani zaidi, kwa kweli nimegain mengi toka kwake.
Flora anaolewa na Mkenya na haruzi yao ni huko huko kwa Mzee Kibaki, wakati naoa Flora alishiriki kiasi kikubwa sana katika kufanikisha harusi yangu.

No comments:

Post a Comment

THIS BLOG IS POWERED BY TRIZ MOTEL

THIS BLOG IS POWERED BY  TRIZ MOTEL