Friday, July 31, 2009

Sheick Abou ndani ya Bangaloo la Filbert Limbumba

Duh -hapa Sheick Abou napewa lager Gilbert anasema hii inafaa eti ina kilevi kidogo sana hata hivyo nilikataa wacha nimuulize kwanza mshkaji wangu GEROME HEINEKEN washkaji nitawapa jibu nikishaongea na GEROME.
Huyu ni Filbert Limbumba almaarufu kama la Patro au AC nane, unajua kwanini Duh- Janamaa home kwake ndani ni baridi kama Russia, ndani kuna AC 8 nilisoma nae Ruiru high School (Thika) Ila jamaa sasa yupo juu ile mbaya ana fedha si mchezo.
Pia ni mmoja wa wakurugenzi wa Diamond Musica.

No comments:

Post a Comment

THIS BLOG IS POWERED BY TRIZ MOTEL

THIS BLOG IS POWERED BY  TRIZ MOTEL