Thursday, July 30, 2009

NANI ZAIDI YA RADIO ONE

Katika nani zaidi ya wiki iliyopita ya tarehe 26/07/2009 mpambano ulikuwa kati ya Kassim na Hussein Machozi, na mpaka mwisho wa mpambano Hussein Machozi akaibuka mshindi........Je Jumapili hii ya Tarehe 2/8/09 atafanikiwa kumshinda Marlow?
Tuma maoni yako sasa.




1 comment:

THIS BLOG IS POWERED BY TRIZ MOTEL

THIS BLOG IS POWERED BY  TRIZ MOTEL