
Mheshimiwa Zitto akifurahia wasanii wa BSS

Rita Paulsen Jaji mkuu wa shindano la BSS akitoa maoni yake katika ukumbi wa Diamond Jubilee ambako shindalo hilo lilifanyika

Pascal Cassian akiimba huku akidaka mshiko kutoka kwa mashabiki wa muziki

Mshindi wa BSS- 2009 Pascal Cassian akikabidhiwa mfano wa hundi ya shilingi milioni 25

Wasanii wa BSS 2009 presha inapanda presha inashuka.....
No comments:
Post a Comment