Beyonce akila Pozi la nguvu na tuzo zake alizotwaa ikiwemo ya Video bora ya mwaka na alikonga nyoyo za mashabiki wake kwa kutumbuiza na kibao chake maarufu cha Single Ladies akiwa na madansa 30 wa kike ambao alikuwa amefanana nao.
Jay Z akila pozi la nguvu na kimwana Alicia Keys baada ya kufanya shoo iliyowadatisha mashabiki
Chapombe Kanye West akimnyang`anya Mic mwanadada Taylor Swift na kuanza kumfagilia malkia wa tuzo tatu Beyonce.
Nyota wa muziki wa rap Kanye Wiz akikata kilauli kwenye sherehe za MTV Video Music Awards
No comments:
Post a Comment