
Ni wiki endi hii- Kwafujo nilipotembelea kambi ya Extra Bongo pale Mwananyamala, Bendi ipo tight usisikie pia nimesikiliza wimbo mmoja unaitwa "Mjini Mipango", vijana wametulia sana.
Alhamisi ya wiki hii watafanya Listening Party wadau kibao wa mjini wamealikwa na Ma Pedsheee kibao kama vile Chief Kiumbe, Ustadh Juma, Masoud Wanani watakuwepo kuskiza ujio mpya wa Xtra Bongo next level, Kwafujo nitakuwepo kuwaletea yaliyojiri.
Wewe endelea kublogisha tu....



Ndio Mzee wa Farasi karibu kilingeni Kaka
ReplyDelete