masela wa bongo kwa kupenda vimwana ni noma! yaani post nyingine ham-comment lakini akiwekwa demu, mwamimina ma-commet ya kumwaga. acheni hizo bwana! Shaluwa J.
ebwana hao wanaosema huyo mtoto siomkali...i think they really need a sereous councelling maana kama mpaka leo hawajui dem mkali anafafananaje swala la kuoa kwao ni story,oya kama vipi dondosha hilo namba mtu chuma..........TRY
Ebwana me nilifikiri ni peke yangu ndo namkubali kumbe hata wewe umemstukia kuwa mtoto kitu ile mbaya. Maana na kusema nimfanye awe mke wa pili nashindwa sababu ni shemegi yangu. sasa sijui unanishauri nini?
duuuu!!!
ReplyDeleteebwana kwafujo anapatikana wapi huyu mtoto?mie mapozi yake tu.weka na namba yake mzazi
ReplyDeleteduuuh pozi hakuna kabisa mwana na tabasamu bovu ile mbaya abuu eeeh 2wekee mademu wa ukwel bwana....NADIA
ReplyDeleteEBWANA EEEE DUUU...POZI ZA AJABU DEMU CO MKALI WALA NINI 2WEKEE WATOTO WA UKWELI ABUUU ANAUWA BENDI
ReplyDeleteminimemkubali tena sana abuu tatizo umeboa hujaweka namba yake....michael
ReplyDeleteebwanaeeee minamjua mtoto dushy duuuuh!!!mamaa uko juuuuuu ila uko wapi siku hizi maana toka kipindi kile uko forosesco sijakuona tena.....!!baraka
ReplyDeletemasela wa bongo kwa kupenda vimwana ni noma! yaani post nyingine ham-comment lakini akiwekwa demu, mwamimina ma-commet ya kumwaga. acheni hizo bwana!
ReplyDeleteShaluwa J.
Hyo mtto mkali bwn,tatizo wa Bongo ha2jikubali 2naponda mpaka visivyo pondeka! Km vp Abuu wawekee picha ya Ciara uone shobo zao.........
ReplyDeleteebwana hao wanaosema huyo mtoto siomkali...i think they really need a sereous councelling maana kama mpaka leo hawajui dem mkali anafafananaje swala la kuoa kwao ni story,oya kama vipi dondosha hilo namba mtu chuma..........TRY
ReplyDeletenice pics,nice poz..mtoto wa ukweli dunia nzima hakuna,mnao ponda wote ukute mmekula vibuti,,
ReplyDeleteReuby61
Ebwana me nilifikiri ni peke yangu ndo namkubali kumbe hata wewe umemstukia kuwa mtoto kitu ile mbaya. Maana na kusema nimfanye awe mke wa pili nashindwa sababu ni shemegi yangu. sasa sijui unanishauri nini?
ReplyDeleteKandai