Kama unataka kupendeza na jezi za wachezaji wa Ulaya basi hapa ndi kwao Mikwaju mikali ya kutokea washua.... KwafujoJunior akiwa ndani ya ZIZZOU Fashions....Jamaa kibao walikuwa wanamuulizia kapotelea wapi huyu jamaa sasa huyo hapo.
tippo tunakubali sana ila jitahidi kutuletea jezi za wachezaji maarufu hasa wa kiafrica,mimi namkubali etoo ila sjaona jezi mpya ya alipohamia,joram wa mbezi
tippo tunakubali sana ila jitahidi kutuletea jezi za wachezaji maarufu hasa wa kiafrica,mimi namkubali etoo ila sjaona jezi mpya ya alipohamia,joram wa mbezi
ReplyDeleteebwana zizzou upo juu,naskia umeanzisha label ya music,safi...km vp anzisha timu ya mpira pia najua unaweza,george ben
ReplyDeleteeeeh junior umepotelea wapi?????????nackia upo uae cku hzi hujaleta kimwana cha kiarabu?? hivyo we na abuu mapacha??
ReplyDelete