Mshikaji wangu ABD Mwaipaya hawa jamaa mbona wanachelewa wakati sisi tuna ubao kinoma inakuwaje.....
Hey... hey... tufanye fasta Aboubakar Sadick na Mwaipaya wanaonekana wanaubao kinoma ngoja tuwaoneshe kuwa Delightful ni Bab kubwa.
Walipochelewa tuliamua kujikita jikoni huko tulikuta mishtaki yetu ikichomwa kwa ustadi.....eee bwana usiombe ilikuwa laini na mitam ile mbaya, hata kama ni kibogoyo utakula bila shida.
Afadhali mmenipoza kwanza kwa juice maana ningeanza fujo pasingetosha
mmmmh....maridadi kweli kweli Juice bab kubwa
muda wote mliokuwa mkingojea chakula sura zenu zinaonyesha mlikuwa mna mawazooo...mmh
ReplyDeletemwaipaya ndyo anaonekana ni kulakula sana....kwafujo najua ataishia kunywa juice tu
ReplyDeletekwa fujo unavonyonya hiyo juice,inaonyesha unajua sana kunyonya vitu vyoote vya kunyonyaa,nakupongeza kwa kuwa mwana blog,kaza buti baba,mpe hi mwaipaya,nampendaga sana.huwa namuona anauza sura kwenye runinga na suit,kumbe hata tsirt na jeans anajua kuzinyukaa.teh,teeh
ReplyDelete