Wednesday, September 9, 2009

Mdau wetu Mary Mwita

Mdau wetu Mary Mwita kutoka Zanzibar ni mtangazaji wa kituo cha radio cha Chuchu FM ana tangaza vipindi kama enzi zile , flava za taratibu low fire na kipindi hiki cha mfungo ana kipindi kinaitwa Dakudaku time na pia aliwahi kuwa miss Chumbageni Tanga.

No comments:

Post a Comment

THIS BLOG IS POWERED BY TRIZ MOTEL

THIS BLOG IS POWERED BY  TRIZ MOTEL