Wednesday, September 23, 2009
MAMBO YA SIKUKUU YA IDD
Assam akiwa na mtoto wa Masoud Wanani wakicheza hapa ni nyumbani kwa Masoud
Twende sasaaaa mnenguaji wa bendi ya Diamond Musica, Salma Bonge akiwajibika jukwaani kwenye sikukuu ya Idd.
Mnenguaji wa bendi ya Diamond Musica, Jane Costa akiwa kazini katika onyesho la Idd.
Mashabiki wa kundi la Jahazi Modern Taarab wakiserebuka katika onyesho la kundi hilo kwenye sikukuu ya Idd .
Saturday, September 19, 2009
MISS EAST AFRICA 2009- VITU ADIMU BABAKE
Date of Birth 19-09-1991
Height 180
Hobbes swimming, reading
Date of Birth 19-08-1991
Height 172
Hobbes reading, Traveling, movies
------------------------------------------------------------------------------------------
Mwaka jana Nchi ya Eritrea pia ilikuwa ya kwanza kutangaza wawakilishi wake katika mashindano ya Miss East Africa 2008 yaliyofanyika jijini Bujumbura, Burundi ambapo iliwakilishwa na warembo Rahwa Ghebrehiwet pamoja ya Menal Hussien ambapo Rahwa Ghebrehiwet alifanikiwa kuibuka mshindi wa tatu.
Mashindano ya kimataifa ya urembo ya Miss East Africa huandaliwa na kampuni ya Rena Events Ltd ya jijini Dar es salaam.
Nchi 14 za ukanda wa Afrika mashariki tayari zimeshathibitisha kushiriki katika mashindano ya mwaka huu ambazo ni wenyeji Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi, zingine ni Ethiopia, Eritrea, Djibouti, Somalia, visiwa vya Seychelles, Re union, Madagascar, Comoros na Mauritius.
Wakati huohuo ile bahati nasibu ya Miss East Africa ya kuchangia yatima ambapo mshindi wa kwanza atajishindia gari jipya aina ya Range Rover sport inaendelea
na watu wote wameombwa kushiriki bahati nasibu hiyo.
“Tunawaomba watu wote washiriki kwa kuandika neno SHINDA kwa kutumia simu zao za mkononi na kutuma kwa sms kwenda namba 15567 ili waweze kujishindia zawadi mbalimbali na wakati huohuo wakichangia yatima wa Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla”
Thursday, September 17, 2009
Beezy kukamua kinoma ndani ya Goethe-Institut
Wednesday, September 16, 2009
Monday, September 14, 2009
MTV Video Music Awards
Beyonce akila Pozi la nguvu na tuzo zake alizotwaa ikiwemo ya Video bora ya mwaka na alikonga nyoyo za mashabiki wake kwa kutumbuiza na kibao chake maarufu cha Single Ladies akiwa na madansa 30 wa kike ambao alikuwa amefanana nao.
Jay Z akila pozi la nguvu na kimwana Alicia Keys baada ya kufanya shoo iliyowadatisha mashabiki
Chapombe Kanye West akimnyang`anya Mic mwanadada Taylor Swift na kuanza kumfagilia malkia wa tuzo tatu Beyonce.
Nyota wa muziki wa rap Kanye Wiz akikata kilauli kwenye sherehe za MTV Video Music Awards
Jay Z akila pozi la nguvu na kimwana Alicia Keys baada ya kufanya shoo iliyowadatisha mashabiki
Chapombe Kanye West akimnyang`anya Mic mwanadada Taylor Swift na kuanza kumfagilia malkia wa tuzo tatu Beyonce.
Nyota wa muziki wa rap Kanye Wiz akikata kilauli kwenye sherehe za MTV Video Music Awards
Friday, September 11, 2009
Maandalizi ya sikukuu ya Idd el fitr
Wednesday, September 9, 2009
Mdau wetu Mary Mwita
Tuesday, September 8, 2009
KARAMU YA IFTAAR YA WATANZANIA UAE
Consul General wa Tanzania katika Dubai na Emirate za Kaskazini Bw. Ali Ahmed Saleh Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania UAE Arch. Mohammed Shariff wakiwa na baadhi ya akinamama waliohudhuria karamu ya kufuturu
Baadhi ya wadau waliohudhuria karamu ya kufuturu akiwemo mchezaji maarufu No.5 ambaye ni mstaafu wa vijana wa Msimbazi Simba, Bw. Ishaka Kibene katikati waliosimama.
Consul General wa Tanzania katika Dubai na Emirate za Kaskazini Bw. Ali Ahmed Saleh wa pili kulia akiwa pamoja na baadhi ya Masheikh waliohudhuria karamu. Sheikh Muhidin Abdulraham wa kwanza kushoto, Sharif Hussein Badawi wa pili kushoto na Sheikh Twalib wa kwanza kulia ambaye ni Imam wa Msikiti Maamur uliopo Upanga Dar es Salaam.
Maggidi wakiwa kwenye bango la shirika la ndege la watani wa jadi KQ
Jumuiya ya Watanzania UAE ilifanya karamu ya kufuturu pamoja Watanzania wanaoishi, kufanyakazi na waliokuwa matembezini UAE.
Watanzania toka Emirates za Abu Dhabi, Ajman, Dubai, Sharjah, Ras Al Khaimah na Umm Al Quwain walijumuika kwenye karamu hiyo iliyofanyika Ofisi za Ubalozi Mdogo uliopo Dubai.
Pamoja na mahunjumati ya kumwaga pia kulikuwepo na tombola ya tiketi ya ndege ya Dubai - Dar - Dubai iliyotolewa kwa hisani kubwa ya shirika la ndege la watani wa jadi Kenya Airways ambao walishiriki kwenye udhamini wa karamu hiyo. Mshindi wa tiketi hiyo alikuwa Bibi Naima R. Nassor.
Baadhi ya wadau waliohudhuria karamu ya kufuturu akiwemo mchezaji maarufu No.5 ambaye ni mstaafu wa vijana wa Msimbazi Simba, Bw. Ishaka Kibene katikati waliosimama.
Consul General wa Tanzania katika Dubai na Emirate za Kaskazini Bw. Ali Ahmed Saleh wa pili kulia akiwa pamoja na baadhi ya Masheikh waliohudhuria karamu. Sheikh Muhidin Abdulraham wa kwanza kushoto, Sharif Hussein Badawi wa pili kushoto na Sheikh Twalib wa kwanza kulia ambaye ni Imam wa Msikiti Maamur uliopo Upanga Dar es Salaam.
Maggidi wakiwa kwenye bango la shirika la ndege la watani wa jadi KQ
Jumuiya ya Watanzania UAE ilifanya karamu ya kufuturu pamoja Watanzania wanaoishi, kufanyakazi na waliokuwa matembezini UAE.
Watanzania toka Emirates za Abu Dhabi, Ajman, Dubai, Sharjah, Ras Al Khaimah na Umm Al Quwain walijumuika kwenye karamu hiyo iliyofanyika Ofisi za Ubalozi Mdogo uliopo Dubai.
Pamoja na mahunjumati ya kumwaga pia kulikuwepo na tombola ya tiketi ya ndege ya Dubai - Dar - Dubai iliyotolewa kwa hisani kubwa ya shirika la ndege la watani wa jadi Kenya Airways ambao walishiriki kwenye udhamini wa karamu hiyo. Mshindi wa tiketi hiyo alikuwa Bibi Naima R. Nassor.
Monday, September 7, 2009
Siku tulipougawa mwezi wa Ramadhan
Thursday, September 3, 2009
BESTA AKANA KUHUSU MIMBA
Mwenyewe alisema hivi, "Saivi kuna uzushi umeenea kwenye vyombo vya habari kua am pregnant, nimekanusha hilo jambo c la kweli.
Sina mimba, na naendelea na music kama kawaida."
"Saiva am prepared 4 my new vdeo. wimbo unaitwa Usirudi, nafanya kwa Adam."
Says Besta.
Vyombo vya habari acheni kumzushia mrembo huyu nadhani mmesoma wenyewe alichokisema.
Endelea kujiblogisha na Kwafujo ili upate habari zake za uhakika.
Sina mimba, na naendelea na music kama kawaida."
"Saiva am prepared 4 my new vdeo. wimbo unaitwa Usirudi, nafanya kwa Adam."
Says Besta.
Vyombo vya habari acheni kumzushia mrembo huyu nadhani mmesoma wenyewe alichokisema.
Endelea kujiblogisha na Kwafujo ili upate habari zake za uhakika.
Tuesday, September 1, 2009
AY ndani ya MTV Afrika Music Awards
Subscribe to:
Posts (Atom)