Mshikaji wangu ABD Mwaipaya hawa jamaa mbona wanachelewa wakati sisi tuna ubao kinoma inakuwaje.....
Hey... hey... tufanye fasta Aboubakar Sadick na Mwaipaya wanaonekana wanaubao kinoma ngoja tuwaoneshe kuwa Delightful ni Bab kubwa.
Walipochelewa tuliamua kujikita jikoni huko tulikuta mishtaki yetu ikichomwa kwa ustadi.....eee bwana usiombe ilikuwa laini na mitam ile mbaya, hata kama ni kibogoyo utakula bila shida.
Afadhali mmenipoza kwanza kwa juice maana ningeanza fujo pasingetosha
mmmmh....maridadi kweli kweli Juice bab kubwa
Friday, July 31, 2009
Sheick Abou ndani ya Bangaloo la Filbert Limbumba
Thursday, July 30, 2009
NANI ZAIDI YA RADIO ONE
Subscribe to:
Posts (Atom)